Sale!

P.I.D – ( Pelvic inflammatory diseases)- Dawa asili ya maambukizi ya mfumo wa uzazi kwa wanawake

Sh10,000.00

P.I.D : ni dawa ya asili inayosaidia kutibu matatizo ya wanawake kama maambukizi ya mfumo wa uzazi (Pelvic Inflammatory Disease), uchafu ukeni, maumivu ya tumbo la chini, hedhi isiyo ya kawaida, na harufu mbaya ukeni. Husaidia kuondoa bakteria na kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla.

Description

Hii ni dawa ya asili yenye kutibu maradhi ya p.i.d(fangas) na maradhi kama ifuatavyo:

  • kuondoa miwasho katika njia ya uzazi
  • kutibu fangasi za uzazi
  • kukausha majimaji na kuondoa harufu mbaya kwenye uzazi
  • kupata maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi
  • maumivu ya nyonga, kiuno na mgongo
  • uke kuwa mkavu na kukosa raha ya tendo la ndoa

MATUMIZI

kijiko kikubwa 2×2 kwa siku

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “P.I.D – ( Pelvic inflammatory diseases)- Dawa asili ya maambukizi ya mfumo wa uzazi kwa wanawake”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

chati nasi kupitia whatsapp
#
Agent (Online)
×

Karibu dawaasili, chati nasi kupiti whatsap